Lusako Wa Kwanza ni Ambassador wa TZnaVijana ambapo ni taasisi ambayo DIRA yao ni "Kuwa na Vijana wenye uwezo wa kujisimamia na kukabiliana na changamoto mbalimbali" Tumeongea mambo mengi sana kwenye Episode hii kuhusu scandal zake za kutuma Ujumbe kwenye DM za wakina dada na pia tumeongelea maisha ya kijana wa kitanzania kwenye mambo ya Mahusiano. Ana follo ... Show More