logo
episode-header-image
Apr 2021
1m 48s

Episode 111: Kiswahili(Baravenes) - "Bar...

TZE-JOHN LIU
About this episode

Sawaaxili (Baravenes) - "Labada Waddo".mp3 / "السواحيلية - "الطريقان(Baravenes).mp3 //
YOHANE 1

Neno akawa mwanadamu

1Hapo mwanzo, Neno alikuwako; naye alikuwa na Mungu, naye alikuwa Mungu. 2Tangu mwanzo Neno alikuwa na Mungu. 3Kwa njia yake vitu vyote viliumbwa; hakuna hata kiumbe kimoja kilichoumbwa pasipo yeye. 4Yeye alikuwa chanzo cha uhai na uhai huo ulikuwa mwanga wa watu. 5Na mwanga huo huangaza gizani, nalo giza halikuweza kuushinda.

6Mungu alimtuma mtu mmoja jina lake Yohane, 7ambaye alikuja kuwaambia watu juu ya huo mwanga. Alikuja ili kwa ujumbe wake watu wote wapate kuamini. 8Yeye hakuwa huo mwanga, ila alikuja tu kuwaambia watu juu ya huo mwanga. 9Huu ndio mwanga halisi, mwanga unaokuja ulimwenguni, na kuwaangazia watu wote.

10Basi, Neno alikuwako ulimwenguni, na kwa njia yake ulimwengu uliumbwa, lakini ulimwengu haukumtambua. 11Alikuja katika nchi yake mwenyewe, nao walio wake hawakumpokea. 12Lakini wale waliompokea, wale waliomwamini, aliwapa uwezo wa kuwa watoto wa Mungu, 13ambao walizaliwa si kwa maumbile ya kibinadamu, wala kwa nguvu za kimwili, wala mapenzi ya mtu, bali kutokana na Mungu mwenyewe.

14Naye Neno akawa mwanadamu, akakaa kwetu. Nasi tumeuona utukufu wake, utukufu wake yeye aliye Mwana wa pekee wa Baba; amejaa neema na ukweli.

15Yohane aliwaambia watu habari zake, akasema kwa sauti, “Huyu ndiye niliyemtaja wakati niliposema: ‘Anakuja mtu mmoja baada yangu ambaye ni mkuu kuliko mimi, maana alikuwako kabla mimi sijazaliwa.’”

16Kutokana na ukamilifu wake sisi sote tumepokea neema kupita neema. 17Maana Mungu alitoa sheria kwa njia ya Mose, nayo neema na kweli vimetujia kwa njia ya Yesu Kristo. 18Hakuna mtu aliyemwona Mungu kamwe. Mwana wa pekee aliye sawa na Mungu ambaye ameungana na Baba, ndiye aliyetujulisha habari za Mungu.

Up next
Apr 2021
Soomaali - "Ciise waa inoo dhintay".mp3
Somali - "Jesus Died for Us" / الصومالية - "يسوع مات من أجلنا".mp3 
3m 1s
Apr 2021
Episode 1: Heerka Carabiga - "Wiilka Khasaaray".mp3
Arabic Standard - "The Lost Son" / اللغة العربية الفصحى - الابن الضال.mp3 // الفصل: 1     1 في البدء كان الكلمة والكلمة كان عند الله وكان الكلمة الله. 2 هذا كان في البدء عند الله. 3 كل شيء به كان وبغيره لم يكن شيء مما كان. 4 فيه كانت الحياة والحياة كانت نور الناس. 5 والنور يضيء ف ... Show More
2m 41s
Apr 2021
Carabi Ta'izzi-Adeni - "Labada Wadiiqo".mp3
Arabic Ta'izzi-Adeni - "The Two Roads" / "الطريقان" - Ta'izzi-Adeni عربي 
2m 12s
Recommended Episodes
Feb 2024
(No.4) -所罗门王 “传道书” 的讲章.mp3
 Ecclesiastes (No.4).mp3 
29m 48s
Feb 2024
(No.1) -所罗门王 “传道书” 的讲章.mp3
Ecclesiastes (No.1).mp3 // 诗 篇 Psalms 23:1 | | ( 大 卫 的 诗 。 ) 耶 和 华 是 我 的 牧 者 。 我 必 不 至 缺 乏 。 23:2 | | 他 使 我 躺 卧 在 青 草 地 上 , 领 我 在 可 安 歇 的 水 边 。 23:3 | | 他 使 我 的 灵 魂 苏 醒 , 为 自 己 的 名 引 导 我 走 义 路 。 23:4 | | 我 虽 然 行 过 死 荫 的 幽 谷 , 也 不 怕 遭 害 。 因 为 你 与 我 同 在 。 你 的 杖 , 你 的 竿 , 都 安 慰 我 。 ... Show More
28m 40s
Jan 2024
الشيخ الحصري 106-سورة قريش "مجود"
الشيخ الحصري 106-سورة قريش "مجود" 
1m 5s
Feb 2022
Episode-427-L-427-صفات القلب السليم-Pages-236-241
Episode-427-L-427-صفات القلب السليم-Pages-236-241 
1h 9m
Jan 2022
Episode-423-L-423-اقسام القلب-Pages-222-225
Episode-423-L-423-اقسام القلب-Pages-222-225 
47m 58s
Aug 2024
Senay Gedly Tegadel
Senay Gedly Tegadel 
29 m
Jan 2024
الشيخ الحصري 69-سورة الحاقة "مجود"
الشيخ الحصري 69-سورة الحاقة "مجود" 
13m 29s
Jan 2024
الشيخ الحصري 85-سورة البروج "مجود"
الشيخ الحصري 85-سورة البروج "مجود" 
6m 2s
Jan 2024
الشيخ الحصري 74-سورة المدثر "مجود"
الشيخ الحصري 74-سورة المدثر "مجود" 
13m 9s