logo
episode-header-image
May 2022
7m 1s

Judy "Nimepokea uteuzi wa Martha Karua k...

SBS Audio
About this episode

Uteuzi wa kiongozi wa chama cha NARC Kenya, Martha Karua kuwa mgombea mwenza wa Raila Odinga umezua gumzo ndani na nje ya Kenya.

Up next
Jul 7
Rwanda yajipata pabaya katika ripoti ya kamati ya usalama ya Umoja wa Mataifa
Ripoti ya siri ya watalaam wa Umoja wa Mataifa imeishtumu Rwanda kwa kutoa maagizo na kudhibiti shughuli za waasi wa M23. 
7m 7s
Jul 4
Taarifa ya Habari 4 Julai 2025
Kamishna wa zamani wa tume yakifalme ame kosoa serikali, kwa kufeli kuchukua hatua haraka kwa mfumo wakitaifa wakufanya ukaguzi kwa ajili yakufanya kazi na watoto. 
15m 48s
Jul 4
Jinsi pombe inavyodhibitiwa na kutumiwa nchini Australia
Huenda umesikia kwamba wa Australia ‘ni maarufu kwa kunywa’, haswa wakati wa matukio makubwa ya michezo au katika siku kuu za umma. 
15m 16s
Recommended Episodes
Feb 2024
Marekani yakosoa vikali mswada unaotoa adhabu kali kwa wapenzi wa jinsia moja Ghana - Februari 29, 2024
Marekani Jumatano ilisema "imefadhaishwa mno" na kupitishwa kwa mswada wa sheria kali dhidi ya wapenzi wa jinsia moja, na bunge la Ghana, na kuhimiza utathminiwe upya, ili kubaini kama unafuata katiba ya nchi hiyo. 
29m 59s
Mar 2024
Mswada ambao huenda ukaipiga marufuku TikTok Marekani wapitishwa na Baraza la Wawakilishi - Machi 14, 2024
Baraza la Wawakilishi la Marekani, Jumatano liliidhinisha mswada, wa kuilazimisha programu maarufu ya mtandao wa kijamii, TikTok, kujitenga na kampuni mama, inayomilikiwa na China, ya ByteDance au kuuza sehemu ya programu hiyo kwa Marekani. 
29m 59s